Hifadhi ya bahari ya Dar es Salaam
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hifadhi ya bahari ya Dar es Salaam inajumlisha maeneo kadhaa kwenye Bahari Hindi karibu na Dar es Salaam, Tanzania. Kwa jumla kuna visiwa tisa visivyokaliwa na watu pamoja na sehemu za bahari kati ya visiwa hivi. Kuna visiwa vinne upande wa kusini wa Dar es Salaam ambavyo ni Bongoyo, Mbudya, Pangavini na Fungu Yasini, halafu vitano upande wa kusini ambavyo ni (Makatumbe, Finda na Kenda). Hifadhi hii inalinda sehemu za matumbawe, za miti ya mikoko na mimea mingine chini ya uso wa maji.
Ukweli wa haraka Nearest city, Eneo ...
Hifadhi ya bahari ya Dar es Salaam | |
Dar es Salaam Marine Reserve System | |
Fungu Yasini reef | |
Nearest city | Dar es SalaamNearest city: Dar es Salaam |
---|---|
Eneo | 15 km² |
Mamlaka ya utawala | Marine Parks & Reserves Authority (Tanzania) |
Tovuti rasmi |
Funga