Hernando de Soto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hernando de Soto (Jerez de los Caballeros, Badajoz, Hispania, 1496/1497 hivi [1] - 21 Mei 1542) alikuwa mpelelezi na conqistador kutoka nchini Hispania. Aliongoza msafara wa kwanza wa upelelezi wa Kizungu katika maeneo ya sasa ya Marekani, akiaminiwa alikuwa Mzungu wa kwanza aliyefika kwenye mto Mississippi.