Mzungu ni neno la Kiswahili kumtaja mtu anayeonekana ametoka Ulaya.
Wote Watu wa Ulaya lakini si wazungu! (Waingereza wazawa mbunge Diane Abbott, mwigizaji wa filamu Adewale Akinnuoye-Agbaje, waziri Paul Boateng, modeli Naomi Campbell, mwimbaji Craig David)