Haji Juma Sereweji
From Wikipedia, the free encyclopedia
Haji Juma Sereweji (amezaliwa tar. 5 Februari 1948) ni mbunge wa jimbo la Mwanakwerekwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Haji Juma Sereweji (amezaliwa tar. 5 Februari 1948) ni mbunge wa jimbo la Mwanakwerekwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.