Giza (Misri)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Giza (Misri)

Giza (pia: Gizeh, kutoka Kar.: الجيزة al-gīza) ni mji wa kaskazini ya Misri unaopakana na mji mkuu Kairo. Kuna wakazi 2,443,490 (2005).

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Giza
Thumb
Bendera
Thumb
Nembo
Thumb
Giza

Mahali pa mji wa Giza katika Misri

Majiranukta: 30°01′0″N 31°13′0″E
Nchi Misri
Mkoa Giza
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,443,490
Funga
Thumb

Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa.

Giza yajulikana hasa kama mahali pa piramidi.

Angalia pia

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.