![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f9/Giotto_-_Scrovegni_-_-18-_-_Adoration_of_the_Magi.jpg/640px-Giotto_-_Scrovegni_-_-18-_-_Adoration_of_the_Magi.jpg&w=640&q=50)
Giotto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Giotto di Bondone (Florence, 1266/7 – 8 Januari 1337) ni kati ya wachoraji bora kutoka Italia, pamoja na kuwa mhandisi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/74/Uffizi_Giotto.jpg/640px-Uffizi_Giotto.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f9/Giotto_-_Scrovegni_-_-18-_-_Adoration_of_the_Magi.jpg/640px-Giotto_-_Scrovegni_-_-18-_-_Adoration_of_the_Magi.jpg)
Anahesabiwa kati ya wasanii walioandaa Renaissance, kwa kuachana na mitindo ya Bizanti na kuchora watu walivyo kweli.[1]
Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.