Gangolfi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Gangolfi (alifariki Avallon, Yonne, leo nchini Ufaransa, 11 Mei 760) alikuwa kabaila wa Burgundy[1] maarufu kwa imani na uadilifu hadi alipouawa na hawara wa mke wake[2].
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3d/Heiliger_Gangolf.jpg/640px-Heiliger_Gangolf.jpg)
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.