![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/2c/N.haje_Morocco.jpg/640px-N.haje_Morocco.jpg&w=640&q=50)
Fira
From Wikipedia, the free encyclopedia
Fira, swila au kobra (Unguja) ni nyoka wenye sumu ambao ni wana wa nusufamilia Elapinae katika familia Elapidae. Kwa lugha za Ulaya huitwa “cobra” ambalo ni kifupi cha cobra de capelo, jina la Kireno lamaanishalo “nyoka mwenye ukaya”. Wanaposumbuliwa nyoka hawa hujiinua na kupanua shingo zao kama ishara ya hatari. Spishi kadhaa hutema sumu kwa nguvu na hulenga macho. Sumu hii ikiingia kwa macho isababisha upofu wa muda.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Fira | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Fira shingo-nyeusi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Jenasi 6:
| ||||||||||||||||
Funga