Edward Ngoyai Lowassa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Edward Ngoyayi Lowassa (26 Agosti 1953 - 10 Februari 2024) alikuwa mwanasiasa nchini Tanzania.
Ukweli wa haraka
| |
Mbunge | |
Bunge la | Tanzania |
Jimbo la uchaguzi | Monduli (Arusha) |
Tarehe ya kuzaliwa | 26 Agosti 1953 |
Tarehe ya kifo | 10 Februari 2024 |
Chama | CCM (tangu 01/03/19) |
Tar. ya kuingia bunge | tangu 1990 |
Alirudishwa mwaka | 2005 |
Waziri Mkuu wa Tanzania | |
Alingia ofisini | 2005 |
Alitanguliwa na | Frederick Sumaye |
Dini | Mkristo |
Elimu yake | Chuo Kikuu |
Digrii anazoshika | MA (Development Studies), University of Bath (Uing.) |
Kazi | mwanasiasa |
Funga
Alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 30 Desemba 2005 akajiuzulu tarehe 7 Februari 2008 kwa kashfa ya Richmond. Mwaka 2015 aligombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo.