![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d7/CulexNil.jpg/640px-CulexNil.jpg&w=640&q=50)
Kuleksi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kuleksi ni spishi za mbu za jenasi Culex katika familia Culicidae. Spishi nyingi zinaweza kueneza ugonjwa ya vertebrata, pamoja na binadamu. Hayo yanashirikisha magonjwa yanayosababishwa na virusi, kama virusi ya Naili ya Magharibi, na pia malaria ya ndege na vijinyoo (microfilaria). Katika Afrika, vekta kuu za virusi ya Naili ya Magharibi ni Culex pipiens na C. univittatus na kwa kadiri fulani C. quinquefasciatus. Spishi ya mwisho pia ni vekta ya matende katika Afrika ya Mashariki. Spishi kadhaa za "Culex" ni vekta za malaria ya ndege kwenye Afrika.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kuleksi | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Kuleksi (Culex quinquefasciatus) akifyonza damu | ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||||
Spishi >1000. | ||||||||||||||||||||
Funga