Wilaya ya Busega ni mojawapo kati ya wilaya 6 za mkoa mpya wa Simiyu, ambavyo vyote vilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012, yenye postikodi namba 39500 [1]. Maeneo yake yalikuwa sehemu za Wilaya ya Magu, Mkoa wa Mwanza. [2].

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, wilaya ilikuwa na wakazi wapatao 203,597 waishio humo. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 282,167 [3].

Makao makuu ya wilaya yako Nyashimo.

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.