Belém ni jina la mji mkuu wa jimbo la Pará katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.4 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 10 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belém kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Mji wa Belém
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Belém
Majiranukta: 1°27′00″S 48°30′00″W
Nchi Brazil
Kanda North
Jimbo Pará
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,408,847
Tovuti:  www.belem.pa.gov.br/new
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.