Azza Hilal Hamad
From Wikipedia, the free encyclopedia
Azza Hilal Hamad (amezaliwa tarehe 18 Oktoba 1975) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020. [1]