Nyuki-mchanga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nyuki-mchanga (kutoka Kijerumani sandbienen) ni nyuki wadogo sana hadi wakubwa kiasi wa family Andrenidae katika familia ya juu Apoidea ya oda Hymenoptera wanaojenga viota vyao katika ardhi, hasa katika udongo mwenye mchanga. Nyuki hawa ni wapweke, lakini spishi kadhaa hujenga viota vyao karibu na kila kimoja. Chache sana hugawana kiota kimoja. Wanatokea maeneo kavu wenye joto kiasi, hasa katika nusudunia ya kaskazini. Afrika ina spishi 28 na Afrika ya Mashariki 4 tu.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Nyuki-mchanga | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nyuki-mchanga (Andrena argentata) | ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||||
Nusufamilia 4:
| ||||||||||||||||||||
Funga