![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/58/Anas_undulata_FWS.jpg/640px-Anas_undulata_FWS.jpg&w=640&q=50)
Bata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mabata ni ndege wa maji wa familia ya Anatidae wenye madomo mafupi na mapana na miguu yenye ngozi kati ya vidole. Manyoya yao huwa na uwezo bora wa kufukuza maji kwa msaada wa mafuta maalumu. Mabata ndiyo moja ya familia za ndege ambazo spishi zao zina uume, kwa sababu mabata wanapandana majini tu.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Bata | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Bata domo-njano | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Nusufamilia 9:
| ||||||||||
Funga
Mabata huchanganywa pengine na aina kadhaa za ndege wa maji wasiohusiana wenye maumbo yanayofanana, kama wazamaji, vibisi, kukuziwa na shaunge.