Agape na Kionia
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Agape na Kionia (walifariki Thesalonike, Ugiriki, 304) walikuwa akina dada mabikira Wakristo ambao kutokana na imani yao walikataa kula nyama iliyotolewa sadaka kwa miungu. Kwa ajili hiyo waliteswa wakauawa kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].
Agape na Kionia | |
---|---|
Watakatifu Agape, Kionia na Irene. | |
Amezaliwa | karne ya 3 |
Feast |
Pengine anatajwa pamoja nao ndugu yao Irene aliyeuawa siku chache baadaye[2]. Labda walitokea Aquileia (Italia)[3][4].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.