Pai ni herufi ya kumi na sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama Π (herufi kubwa cha mwanzo) au π (herufi ndogo ya kawaida). Pai ni asili ya herufi ya P katika alfabeti ya Kilatini.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Funga

Katika Ugiriki ya Kale ilihesabiwa pia kama tarakimu kwa namba "80".

Katika elimu ya hisabati herufi pai inatumiwa kutaja namba pai ambayo ni namba ya duara.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.