Phi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Phi

Phi (Φ φ) ni herufi ya ishirini na moja katika alfabeti ya Kigiriki.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Funga

Asili yake haijulikani kwa hakika.

Matamshi yake ni "f".

Katika Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikimaanisha namba 500.

Kama herufi nyingine za Kigiriki, phi inatumika katika hisabati na sayansi kama kifupisho cha dhana au vipimo mbalimbali.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.