From Wikipedia, the free encyclopedia
Zeland (kwa Kidenmark: Sjælland) ni kisiwa kikubwa cha Denmark kilichopo kwenye mashariki ya nchi hiyo. Inatenganishwa na Uswidi kwa mlangobahari wa Øresund upande wa mashariki. Eneo la Zeland ni kilomita za mraba 7,031.
Kuna wakazi wapatao 2,268,000 wanaoishi kisiwani kufuatana na sensa ya mwaka 2016. Wengi wao wanaishi karibu na Kopenhagen ambayo ni mji mkuu wa Denmark.
Zeland imeunganishwa na sehemu nyingine za Denmark kwa njia ya madaraja na njia chini ya bahari ambayo ni pamoja na:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Zeland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.