Yohane Wall
Padre na mfia imani wa Kikatoliki wa Kiingereza From Wikipedia, the free encyclopedia
Padre na mfia imani wa Kikatoliki wa Kiingereza From Wikipedia, the free encyclopedia
John Wall, O.F.M. (Preston, 1620 - Worcester 22 Agosti 1679) alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo Warekoleti aliyefia imani sahihi ya Kikatoliki huko Uingereza.
Kisha kutekeleza uchungaji kwa siri kwa zaidi ya miaka 20, aliuawa kwa kunyongwa na kuchanwa utumbo baada ya kukamatwa wakati wa kuadhimisha Misa kutokana na dhuluma ya mfalme Charles II[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini. Kwanza alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI mwaka 1929, halafu mtakatifu na Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.