Yohane Mvunaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Mvunaji

Yohane Mvunaji (kwa Kiitalia: Giovanni Theristis; Palermo, mkoa wa Sicilia, Italia, 1049Stilo, Calabria, 1129) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki katika mkoa asili ya wazazi wake, Calabria[1].

Thumb
Pango lake.

Aliitwa "Mvunaji" kwa sababu ya huruma yake kwa maskini iliyomfanya aende mara nyingi kuwasaidia shambani[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi sawia kama mtakatifu, ingawa aliishi baada ya farakano kati yao.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Februari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.