From Wikipedia, the free encyclopedia
Yamuna (kwa Kihindi: यमुना, yamunā; pia: जमुना, Jamuna; kwa Kiurdu: جمنا) ni mto mkubwa huko Uhindi Kaskazini. Ni tawimto kubwa zaidi la mto Ganga.
Chanzo | milima ya Himalaya katika jimbo la Uttarakhand |
Mdomo | mto Ganga |
Nchi | Uhindi |
Urefu | km 1,376 |
Kimo cha chanzo | mita 3,293 |
Tawimito upande wa kulia | mito ya Chambal, Betwa, Ken, Sindh, Baghain |
Tawimito upande wa kushoto | miro ya Hindon, Tons, Giri, Rishiganga, Hanuman Ganga, Sasur Khaderi |
Mkondo | wastani m3 2,950 |
Eneo la beseni | km2 366,223 |
Miji mikubwa kando lake | Delhi, Mathura, Agra, Allahabad |
Huanza kwenye milima ya Himalaya katika jimbo la Uttarakhand. Unaendelea katika majimbo ya Uhindi ya Haryana, eneo la mji mkuu Delhi na Uttar Pradesh. Mwishowe, kwenye mji wa Allahabad, inaishia katika mto Ganga baada ya mwendo wa kilomita 1,370.
Matawimto yake muhimu zaidi ni mito Tons na Chambai.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Yamuna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.