Wilehadi wa Denmark
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilehadi wa Denmark (1482 - 1572[1]) alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo kutoka Denmark aliyefia imani ya Kikatoliki huko Uholanzi pamoja na wenzake 18 maarufu kama Wafiadini wa Gorkum[2].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini. Kwanza alitangazwa na Papa Klement X kuwa mwenye heri tarehe 24 Novemba 1675, halafu mtakatifu na Papa Pius IX tarehe 29 Juni 1867.
Sikukuu yake na ya wenzake huadhimishwa tarehe ya kifodini chao, 9 Julai[3].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.