From Wikipedia, the free encyclopedia
Utamadunisho (kwa Kiingereza "enculturation") ni mchakato wa mtu kupokea utamaduni wa wale wanaomzunguka[1] ili kuingia zaidi katika maisha ya jamii husika.
Katika Ukristo msamiati huo unamaanisha hasa mchakato wa ujumbe wa Injili kuingia kwa dhati zaidi katika maisha ya watu wa utamaduni fulani ili Kanisa lizidi kutia mizizi katika kabila au taifa husika badala ya kubaki kasumba.
Mchakato huo hauwezi kufanyika mara moja, bali unadai uwazi wa waumini kwa Neno la Mungu na kwa Roho Mtakatifu pamoja na jitihada za makusudi na za pamoja.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.