Ulama (pia: Ulema, kutoka Kiarabu علماء ʿulamāʾ) ni namna ya kutaja wataalamu wa dini katika Uislamu.

Ukweli wa haraka
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya

Uislamu

Imani na ibada zake

Umoja wa Mungu
Manabii
Misahafu
Malaika
Uteule
Kiyama
Nguzo za Kiislamu
Shahada Swala Saumu
Hija Zaka

Waislamu muhimu

Muhammad

Abu Bakr Ali
Ukoo wa Muhammad
Maswahaba wa Muhammad
Mitume na Manabii katika Uislamu

Maandiko na Sheria

Qur'an Sunnah Hadithi
Wasifu wa Muhammad
Sharia
Elimu ya Sheria za Kiislamu Kalam

Historia ya Uislamu

Historia
Sunni Shi'a Kharijiya Rashidun Ukhalifa Maimamu

Tamaduni za Kiislamu

Shule Madrasa
Tauhidi Falsafa Maadili
Sayansi
Sanaa Ujenzi Miji
Kalenda Sikukuu
Wanawake
Viongozi Siasa
Uchumi
Umma Itikadi mpya Sufii

Tazama pia

Uislamu na dini nyingine
Hofu ya Uislamu

Funga

Mamlaka na uwezo wao ni tofauti katika jamii za Kiislamu kufuatana na mapokeo tofauti. Katika madhehebu ya Shia wana athira kubwa zaidi.

Kati ya Waislamu ulema huulizwa kuhusu uelewano wa sharia na vipengele vingine vya imani.

Neno "ulama" latokana katika lugha ya Kiarabu na hapa ni wingi wa aalim (ar. عالِم) inayomaanisha "mtu mwenye elimu, mtaalamu". Neno hili linaweza kutaja wataalamu wa kila fani lakini inamaanisha hasa wataalamu wa dini[1].

Matawi ya elimu

Kimapokeo ulema hujifunza Quran, tafsir (namna ya kuelewa Qurani), Sunnah na ahadith, shariah (kanuni za imani), fiqh (namna ya kutumia sharia) na kalam (theolojia au mafundisho kuhusu imani).

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.