From Wikipedia, the free encyclopedia
Tour de France ni shindano mashuhuri la baisikeli nchini Ufaransa[1]. Lilianzishwa mnamo mwaka 1903 na kuendelea kufanyika kila mwaka katika mwezi wa Julai.
Jina Tour de France linamaanisha Ziara ya Ufaransa kwa sababu washiriki wanapitia Ufaransa yote katika muda wa wiki 3, na wakati mwingine sehemu za mbio zinaingia pia katika nchi jirani.
Linatazamwa kama shindano la mbio za baisikeli gumu zaidi duniani.[2] Washiriki ni wanaume pekee.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.