Tony Yayo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tony Yayo

Marvin Bernard (Amezaliwa tar. 31 Machi 1978), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii Tony Yayo, ni mwanamuziki wa rap kutoka nchini Marekani, pia ni mmoja kati ya mwanakundi la G-Unit.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Tony Yayo

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Marvin Bernard
Amezaliwa 31 Machi 1978 (1978-03-31) (umri 46)
Asili yake New York, Marekani
Kazi yake Mwimbaji-mtunzi-wa-nyimbo, rapa,
Miaka ya kazi 1999 hadi leo
Studio G-Unit Records (2003–hadi leo)
Interscope (2003–2009)
G-Unit Philly (2009–hadi leo)
EMI(2010–hadi leo)
Funga


Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tony Yayo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.