From Wikipedia, the free encyclopedia
Thimphu (ཐིམ་ཕུ་ ; pia "Thimbu") ni mji mkuu wa Bhutan. Ni pia jina la bonde penye mji na la mkoa wa nchi.
Mji na mazingira yake una wakazi 50,000 ni mji mkubwa nchini. Anwani ya kijiografia ni 27°28′00″N, 89°38′30″E. Thimphu iko katika magharibi ya nchi ndogo kando la mto Wang Chu kwenye kimo cha 2,736 m.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Thimphu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.