Sulpisi Severi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sulpisi Severi

Sulpisi Severi (363425 hivi) alikuwa seneta na askofu mzaliwa wa Aquitaine[1] katika Ufaransa wa leo.

Thumb
Ukurasa wa kitabu chake Vita Sancti Martini, Bibliothèque nationale de France.

Ni maarufu kwa habari alizoandika kuhusu historia ya Kanisa, na wasifu wa Martin wa Tours.

Gregori wa Tours alisifu hekima yake, juhudi zake kwa uchungaji na kwa kurekebisha maadili yaliyokuwa yameharibika[2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Maandishi yake

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.