Sargon Mkuu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sargon Mkuu
Remove ads

Sargon Mkuu (kwa Kiakadi: Šarru-ukīn au Šarru-kēn, anayejulikana pia kama Sargon wa Akkad)[4] alikuwa mtawala wa kwanza wa Dola la Akad, maarufu kwa kuteka miji-dola ya Wasumeri katika karne ya 24 - 23 KK.[3]

Ukweli wa haraka Sargon wa Akkad Šarru-ukīn, Tarehe za utawala ...

Nasaba yake ilitawala miaka 100 hivi baada ya kifo chake.[5]

Inadhaniwa kuwa dola lake lilienea katika Mesopotamia na hata nje yake kutoka mji wa Akkad (pia: Agade).

Thumb
Ramani ya uenezi wa Dola la Akadi chini ya mjukuu wa Sargon, Naram-Sin of Akkad.
Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads