Riziki Said Lulida

mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Riziki Said Lulida (amezaliwa tarehe 31 Julai 1955) ni mbunge wa viti maalumu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama tawala cha CCM.

Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [2][3]

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nnje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.