Riziki Said Lulida
mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Riziki Said Lulida (amezaliwa tarehe 31 Julai 1955) ni mbunge wa viti maalumu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama tawala cha CCM.
Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020. [2][3]
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nnje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.