Pupa ni hatua ya maisha ya baadhi ya wadudu wanaopitia mabadiliko kati ya hatua za kukomaa na ukomavu wake. Katika mabadiliko ya maumbile au metamofosisi wadudu hao wanapitia hatua nne ambapo wanaonekana tofauti kabisa ambazo ni lava, pupa, na mdudu kamili (kwa lugha ya kitaalamu imago).[1]

Thumb
Pupa za mbawakawa aina ya 'Cetonia aurata.
Thumb
Pupa ya mbu. Tofauti na pupa wengine, puoa za mbu wanaweza kuogelea kwenye maji.

Mabadiliko hayo yote yanadhibitiwa na homoni mbalimbali.

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.