From Wikipedia, the free encyclopedia
Prisko na wenzake (walifia dini Auxerre, leo nchini Ufaransa, 272 hivi) alikuwa Wakristo wa mji huo waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Aureliani wa Dola la Roma[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.