Peter Paul Rubens

From Wikipedia, the free encyclopedia

Peter Paul Rubens

Pieter Pauwel (Peter Paul) Rubens (28 Juni 157730 Mei 1640) alikuwa mchoraji mashuhuri Mholanzi wa Flandria wakati wa karne ya 17.

Thumb
Rubens and mke wake Isabella Brant

Alikuwa kati wachoraji wa Ulaya waliojulikana sana akaongoza karahana kubwa mjini Antwerpen alipochora picha zake kwa msaada wa wasaidizi wake. Alikuwa pia mtaalamu mwenye elimu nzuri akatumiwa kama balozi na wafalme wa Hispania na Uingereza.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.