Papa Gregori IX

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Gregori IX

Papa Gregori IX (takriban 114322 Agosti 1241) alikuwa Papa kuanzia tarehe 19/21 Machi 1227 hadi kifo chake[1]. Alitokea Anagni, Italia[2].

Thumb
Papa Gregori IX.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ugolino wa Segni.

Alimfuata Papa Honori III akafuatwa na Papa Selestini IV.

Rafiki wa Fransisko wa Asizi, alifanywa kardinali mlinzi wa shirika la Ndugu Wadogo akatabiriwa naye Upapa.

Baada ya utabiri kutimia, ndiye aliyemtangaza mtakatifu huko Assisi mwaka 1228.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.