Nikola II wa Urusi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nikola II wa Urusi

Nikola wa II wa Urusi (kwa Kirusi: Николай II Алекса́ндрович, Nikolai II Aleksandrovich; St. Petersburg, Urusi, 18 Mei 1868Yekaterinburg, Urusi, 17 Julai 1918) alikuwa tsar (mtawala wa kifalme au kaisari) wa mwisho wa Urusi (kuanzia tarehe 1 Novemba 1894 hadi alipozalimishwa kujiuzulu tarehe 15 Machi 1917).

Thumb
Picha halisi ya Mt. Nikola II, mwaka 1909.

Familia yake nzima iliuawa na Wakomunisti. Kwa sababu hiyo wote wanaheshimiwa na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini[1].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.