Niseti wa Trier (pia: Nicetius, Nicetus, Nicet au Nizier; Auvergne[1], leo nchini Ufaransa, 525 hivi - 566 hivi[2]) alikuwa askofu muhimu zaidi wa mji huo[3], leo nchini Ujerumani, akieneza kazi yake hadi Konstantinopoli[4][5][6].
Gregori wa Tours anamsifu hasa kwa mahubiri yake yenye nguvu, kwa mafundisho yake yenye msimamo na kwa maonyo yake makali [7] yaliyomfanya mfalme Klotari I ampeleke uhamishoni[8].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.