From Wikipedia, the free encyclopedia
Ngeli ni ngazi inayotumika katika biolojia kuainisha viumbehai wote katika makundi. Kila ngeli imegawanyika katika makundi.
Kuna ngeli nyingi katika kila faila. Kwa mfano mamalia ni moja ya makundi ya ngeli ya viumbe wenye uti wa mgongo, na kundi hilo limegawanyika katika makundi kama Monotremes, Marsupials na Eutheria.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.