From Wikipedia, the free encyclopedia
Bolu ni mkoa uliopo kaskazini-magharibi mwa Kanda ya Bahari Nyeusi nchini Uturuki, upo katikati ya mji wa Istanbul na Ankara. Umechukua eneo la kilomita za mraba 7,410 na idadi ya wakazi takriban 270,417.
Mkoa wa Bolu | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Bolu nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Bahari Nyeusi |
Eneo: | 7410 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 270,417 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 14 |
Kodi ya eneo: | 0374 |
Tovuti ya Gavana | http://www.bolu.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/bolu |
Mji mkuu wake ni Bolu.
Mkoa wa Bolu umegawanyika 9 (mji mkuu umekoozeshwa):
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bolu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.