From Wikipedia, the free encyclopedia
Bolu (Kigiriki: Βιθύνιον /Vithinion, Kilatini Bithynium au Claudiopolis) ni mji ulipo nchini Uturuki, na ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Bolu. Idadi ya wakazi wa mji huo wanafikia 84,565 (kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2000).
Bolu ipo katika njia ya zamani itokayo mjini Istanbul hadi Ankara, ambayo inapanda kuelekea juu ya Mlima Bolu, wakati njia mpya ya gari imepita chini ya Pango la Mlima Bolu.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bolu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.