Mchezo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mchezo ni shughuli iliyopangwa hasa kama burudani na inayotumika pengine kwa lengo la malezi na la afya.[1]


Mchezo ni tofauti na kazi, inayofanyika kwa kawaida ili kupata malipo, na vilevile na sanaa, ambayo inalenga zaidi kutokeza uzuri au ujumbe fulani. Hata hivyo tofauti hizo si wazi kila mara, maana mambo hayo yanaweza kuchanganyikana katika tukio moja, ambalo linapendeza kwa uzuri, linaburudisha, linalea na kuleta malipo papo hapo.
Ushahidi wa kwanza wa michezo ni wa mwaka 2600 hivi KK[2][3] na kwa sasa baadhi yake imeenea duniani kote[4]
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads