Mchemraba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mchemraba ni gimba lenye pande sita mraba. Ni aina ya pekee ya mchestatili.
- Una pembe 8 ambazo zote ni pembemraba na urefu, upana na kimo vyote ni sawa.
- Una kona 12 sawa na nne-nne kati ya hizi ziko sambamba


Mjao
- Mjao wa mchemraba unapatikana kwa kuzidisha urefu kwa upana kwa kimo. Kwa sababu hapo pande zote ni sawa inatosha kuzidisha upande wowote mara tatu.
- Mfano: urefu wa upande wa mchemraba ni sentimita 2 unapiga hesabu ya 23 = 2x2x2 = 8 cm3 (=sentimita mjazo).

Eneo la uso
Mchemraba huwa na pande sita sawa. Hivyo eneo la uso wake ni eneo la upande moja mara 6.
- Mfano: Mchemraba una urefu wa sentimita mbili. Hivyo kila upande una 2x2 = 4 cm2 mara 6 = 24 cm 2.
Viungo vya Nje
- Cube: Interactive Polyhedron Model Ilihifadhiwa 9 Oktoba 2007 kwenye Wayback Machine.*
- Volume of a cube, with interactive animation
- Cube (Robert Webb's site)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.