From Wikipedia, the free encyclopedia
Emmanuel N'Djoké (Manu" Dibango) (12 Desemba 1933 - 24 Machi 2020) [1] alikuwa mwanamuziki na mtunzi wa nyimbo kutoka Kameruni ambaye alicheza saksafoni na vibraphone . Alianzisha mtindo wa muziki wa kuchanganya jazba, funk, na muziki wa kitamaduni wa Kameruni. Baba yake alikuwa mwanachama wa kabila la Yabassi, wakati mama yake alikuwa Duala . Alijulikana zaidi kwa wimbo wake wa 1972 " Soul Makossa ". Alikufa kutokana na COVID-19 tarehe 24 Machi 2020. [2] [3]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.