Lupisino wa Condat
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lupisino wa Condat (alifariki 486 hivi) alikuwa Mkristo ambaye, baada ya kufiwa mke wake, alikwenda kuishi na kaka yake mkaapweke Romano wa Condat[1].
Pamoja naye alianzisha monasteri mbili huko Condat na Lauconne katika eneo la milima ya Jura, leo nchini Ufaransa, akawa abati wake[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.