Lugha za Kiselti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lugha za Kiselti ni tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya ambalo limerudi nyuma sana tangu zamani za Roma ya Kale lilipokuwa linatumika katika eneo kubwa sana la Ulaya hadi Uturuki wa leo.

Kati ya hizo, sita ni hai na ni lugha mama za watu 1,400,000 hivi[1].
Kati yake, Kieire ni lugha ya pili ya watu 1,865,000 hivi, hasa katika kisiwa cha Ireland na kwa sababu hiyo ni lugha ya taifa na lugha rasmi ya kwanza ya Eire. Kwa sababu hiyohiyo ni pia lugha rasmi mojawapo ya Umoja wa Ulaya.
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
