Lugha za Kiselti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lugha za Kiselti
Remove ads

Lugha za Kiselti ni tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya ambalo limerudi nyuma sana tangu zamani za Roma ya Kale lilipokuwa linatumika katika eneo kubwa sana la Ulaya hadi Uturuki wa leo.

Thumb
Ramani inayonyesha lugha hizo zinapotumika hadi leo au zilipotumika katika karne za mwisho:      Ireland (Kieire)      Scotland (Kiskoti)      Isle of Man (Kimanksi)      Wales (Kiwelisi)      Cornwall (Kikornishi)      Brittany (Kibretoni)

Kati ya hizo, sita ni hai na ni lugha mama za watu 1,400,000 hivi[1].

Kati yake, Kieire ni lugha ya pili ya watu 1,865,000 hivi, hasa katika kisiwa cha Ireland na kwa sababu hiyo ni lugha ya taifa na lugha rasmi ya kwanza ya Eire. Kwa sababu hiyohiyo ni pia lugha rasmi mojawapo ya Umoja wa Ulaya.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads