Lesbo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lesbo

Lesbo (kwa Kigiriki: Λέσβος, Lésvos) ni kisiwa cha Ugiriki katika Bahari ya Aegean chenye eneo la Km² 1,633.

Thumb
Lesbo ilivyo.
Thumb
Mlima Olympus una kimo cha mita 967.
Thumb
kijiji cha Agiasos.

Kina wakazi 86,436 (2011) wanaotegemea zaidi uvuvi na utalii. Makao makuu yako Mutilene.

Mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka huko hadi Samos akielekea Yerusalemu[1].

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.