Kirundi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kirundi ni lugha ya Kibantu inayotumika na watu milioni kumi au zaidi hasa nchini Burundi lakini pia katika maeneo ya jirani ya Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda. Ndiyo lugha ya taifa na mojawapo ya lugha rasmi za Burundi. Wanaosema Kirundi na Kinyarwanda, lugha rasmi ya Rwanda, wanasikilizana bila shida.[1] Kwa kiasi kikubwa sana hata Waha na Wahangaza wa Tanzania wanasikilizana nao.
Kirundi Ikirundi |
|
---|---|
Lugha | |
Asili | Burundi, |
Wasemaji |
L1 : 13 Milioni (2021) |
Familia za lugha |
|
Aina za Awali | Lugha za Kibantu za Kale |
Mfumo wa kuandika | Alfabeti ya Kilatini |
Lugha Rasmi | |
Lugha rasmi kwa | Burundi |
Nambari za Msimbo | |
ISO 639-1 | rn |
ISO 639-2 | run |
Glottolog | kiru1255 |
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.