Kirundi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kirundi ni lugha ya Kibantu inayotumika na watu milioni kumi au zaidi hasa nchini Burundi lakini pia katika maeneo ya jirani ya Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda. Ndiyo lugha ya taifa na mojawapo ya lugha rasmi za Burundi. Wanaosema Kirundi na Kinyarwanda, lugha rasmi ya Rwanda, wanasikilizana bila shida.[1] Kwa kiasi kikubwa sana hata Waha na Wahangaza wa Tanzania wanasikilizana nao.

Ukweli wa haraka Kirundi Ikirundi, Lugha ...
Kirundi
Ikirundi
Lugha
Asili Burundi,
Wasemaji

L1 : 13 Milioni (2021)

Familia za lugha
  • Niger-Kongo
  • Atlantiki-Kongo
  • Volta-Kongo
  • Benue-Kongo
  • Kibantu
Aina za Awali Lugha za Kibantu za Kale
Mfumo wa kuandika Alfabeti ya Kilatini
Lugha Rasmi
Lugha rasmi kwa Burundi
Nambari za Msimbo
ISO 639-1 rn
ISO 639-2 run
Glottolog kiru1255
Funga

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.