From Wikipedia, the free encyclopedia
Kioromo ni lugha ya Waafrika milioni 34 hivi. Ndiyo lugha kubwa nchini Ethiopia, na inatumika hata Kenya na Somalia, ikiwa ya nne barani Afrika kwa wingi wa watumiaji. Kati ya lugha za Kikushi ndiyo ya kwanza.
Inagawanyika hasa kati ya Kioromo-Mashariki, Kioromo-Mashariki na Kioromo-Kusini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.