Kiganda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kiganda (pia Luganda) ni lugha ya Kibantu nchini Uganda inayozungumzwa na Waganda. Mwaka wa 2002 idadi ya wazungumzaji wa Kiganda imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne.

Ukweli wa haraka Kiganda Luganda (lg), Lugha ...
Kiganda
Luganda (lg)
Lugha
Asili Uganda
Wasemaji

L1 : 5.6 Milioni
L2: 5.4 Milioni

Jumla: 11.0 Milioni
Familia za lugha Niger-Kongo
Kibantu
Kibantu cha Kati
Aina za Awali Kiganda cha Kale
Mfumo wa kuandika Kilatini
Lugha Rasmi
Lugha rasmi kwa Uganda
Nambari za Msimbo
ISO 639-1 lg
ISO 639-2 lug
Glottolog gand1255
Funga

Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiganda kiko katika kundi la J10.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiganda kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.