From Wikipedia, the free encyclopedia
Kielezi (alama yake ya kiisimu ni: E, ing. adverb) ni neno au maneno yanayotoa taarifa ihusuyo kitenzi. Maneno hayo (vielezi) huelezea/hufafanua na kupambanua au kuongeza maana zaidi ya namna au jinsi tendo linavyotendeka - idadi au kiasi cha kutendeka kwa tendo hilo, mahali ambapo tendo linatendeka.
Mifano |
---|
|
Hivyo basi kielezi ni neno au maneno yanayotoa taarifa ili kukujulisha kuwa kitenzi hicho kimetendeka namna gani au jinsi gani, mara ngapi au kwa kiasi gani, wapi, lini na kwa sababu gani.
Wakati mwingine vielezi hutoa taarifa inayohusu nomino, viwakilishi, vivumishi na hata vielezi vyenzake.
Huelezea jinsi au namna jambo linavyotendeka.
Huelezea kitendo kilifanyika mara ngapi.
Huelezea kitendo kilifanyika sehemu gani.
Huelezea zaidi wakati au muda kitendo kinapofanyika, kwa mfano: jioni, usiku, asubuhi n.k.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Vielezi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.